Askari
wa jeshi lapolisi, Sajenti Patrick Kondwa amejiua kwa kujipiga risasi
akiwa katika ofisi yake kwenye ghala lakuhifadhia silaha katika kituo
cha polisi cha wilaya ya mbozi mkoani mbeya.
Akizungumza
na ITV kwanjia ya simu, kamanda wa polisi mkoa wa mbeya amekiri kutokea
kwa tukio hilo na kusema kuwa chanzo cha kifo hicho bado hakijafahamika
na kwamba jeshi lapolisi linaendelea na uchunguzi wa tukiohilo.
Sajenti
Patrick mwenye umri wamiaka 54 ,akiwa katika ofisi yake kwenye chumba
cha kuhifadhia silaha katika kituo cha polisi cha wilaya ya mbozi
amejipiga risasi mdomoni ambayo imetokea kisogoni na kuondoka na uhai
wake, tukio ambalo limetokea majira ya saa tisa usiku na kuthibitishwa
na kaimu mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya hiyo,
ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya ileje, Rosemary Staki Senyamule.
Baadhi
ya waombolezaji ambao wamezungumza na ITV wamesema kuwa wamepokea
msiba huo kwa masikitikomakubwa hasa kwa kuzingatia kuwa Sajenti Patrick
alikuwani askari mwadilifu na anayeipenda kazi yake.
Credit ITV
Topics: MATUKIO
Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Soma na Hizi
Matukio yaliyojili katika ulimwengu wa Teknolojioa Mwaka 2016
MWAKA 2016 umefika ukingoni, kwanizimesalia saa chache kabla ya kuingia 2017. Ahsante kwa...Read more »
31Dec2016TCRA imeziagiza kampuni za simu kutenganisha vifurushi
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeziagiza kampuni za simu kuanzisha vifurushi vinavyote...Read more »
02Oct2015Facebook na UN washirikiana kutoa huduma ya bure ya Internet kwa wakimbizi wa Syria
Facebook na UN yashirikiana kutoa huduma ya bure ya Internet katika k...Read more »
01Oct2015Instagram yaweka rekodi mpya kwa kufikisha idadi kubwa ya watumiaji
Instagram yaweka rekodi mpya kwa kufikisha idadi kubwa ya watumiaji milion...Read more »
01Oct2015Umoja wa Ulaya na China kushirikiana katika utafiti wa 5G
Umoja wa Ulaya unasema kuwa ushirikiano huu utaongezea vituo v...Read more »
01Oct2015shule zote za Serikali kufungwa nchini Kenya
Serikali yatoa agizo la kwa shule zote kufuatia mgomo wa walimu...Read more »
20Sep2015

Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Mambo vipi Rafiki yangu? Kama wewe ni miongoni mwa...
-
Nabii Samwel Mahela wa Kanisa la...
-
Si wengi wetu wanaofahamu umuhimu wa kula samaki mara...
-
Computer ina uwezo wa kufanya mambo ambayo binadamu...
-
wakati huku kwetu bado wanafunzi wanaendeleza njia...
-
Kwa wale Rafiki zangu wa ma-gadgets and all...
-
Mambo vipi Rafiki zangu wasomaji wa Website hii, Siku...
Data Boosta
