Header ads

Header ads
» » PICHA::MAHAFALI YA TATU (3) YA CHUO CHA WAKALA WA ELIMU NA MAFUNZO YA UVUVI MBEGANI BAGAMOYO



Baadhi ya wahitimu wa sitashahada ya Uchakataji wa Samaki, Ubora na Masoko wakiwa katika msafara wa maandamano ya amani kuelekea ukumbini
Baadhi ya Wanafunzi wa kitivo cha Ufugaji Samaki (AQUACULTURE) wakiwa katika picha ya pamoja

 Baadhi ya wanafunzi wa Wahitimu wa kozi ya Mazingira na maliasili za Pwani wakiwa na nyuso za furaha



Mkuu wa chuo cha Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi akizungumza maneno machache kabla ya kumukalibisha Mgeni Mwalikwa
Mgeni mwalikwa akisoma hotuba  mbele ya Wahitimu na watu wote walio uzuria maafari hayo ya tatu yaliyofanyika jana katika ukumbi wa chuo cha Wakala wa elimu na mafunzo ya Uvuvi Mbegani Bagamoyo
Picha ni Mgeni mwalikwa akimukabizi cheti muhitimu wa ngazi ya Sitashada ya Uchakataji wa Samaki na Ubora Sada Said..

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post