Mangwea R.I.P Pretoria,Afrika Kusini
NDUGU wadau wa tovuti ya Habarimpya.com tunaomba
radhi kwa kuwaletea picha hii ya msanii wa muziki wa kizazi kipya Albert
Mangwea, aliyefariki Dunia juzi nchini Afrika Kusini,tunatambuwa kuwa
picha hii si nzuri lakini tumelazimika kuwaletea ili mshuhudie jinsi
mpendwa wetu alivyokuwa kabla ya kutengenezwa.
Kiukweli Mangwea alikufa kifo cha masikitiko, msanii huyo aliyewai
kutamba na wimbo wa Geto langu pamoja na mikasi iliyotengenezwa na
mwaandaaji wa ala za muziki nchini Tanzania P Funk Majani.
Mangwea alikutwa amekufa katika chumba walichokuwa wamelala na msanii
wa mwenzake M 2 The P, Mangwea alikutwa amelowa damu nyingi, ambazo
zilikuwa zikitoka kwa wingi kupitia mdomoni,puani na masikioni.
Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wameiambia Habarimpya.com
kwamba kitendo cha msanii huyo kuvuja damu nyingi ndiyo iliyosababisha
kifo chake na kwamba hata jopo la Madaktari waliompokea walishangazwa na
damu hizo kabla ya uchunguzi kufanyika.
Topics: MATUKIO
Imehaririwa na;- Unknown
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Kama ni mpenzi wa vitu vikali na bora na umejipanga kuchukua Mzigo mpya wa Kompyuta mpakato “Laptopo” kwa Mwaka huu 2016,Ni...
-
Wana mashabiki wengi, miongoni mwao tayari ni mamilionea (wa shilingi), wapo wenye mijengo, magari ya kifahari, mir...
-
K una watu wengi wenye nguvu katika ulimwengu wa Michezo, Biashara, Siasa,Teknolojia,na mambo mbalimbali, Laki...
-
Mkurugenzi mkuu wa Facebook Mark Zuckerberg amenunua nyumba 4 kwa ajili ya kuzibomoa na kujenga upya katika eneo la Palo Alto lililok...
-
Muonekano wa Kilimanjaro 4 KAMPUNI ya Azam Marine, inaleta boti mpya ya Kilimanjaro 4, ambayo inatarajiwa kuwasili nchini nchini...
-
H atimaye watumiaji wa WhatsApp wataweza kushare nyaraka (Dokoment) kwa Ndugu, Jamaa, Rafiki na wengine zaidi. kipe...
-
Kya GrynDr releases second song of 2013 available for download ! #Wanene Produced by -> @ soundcloud.com/mcivan-thompson Mixed B...
-
Mabingwa wa Bundesliga kufungua kambi ya mazoezi na kutoa msaada wa kifedha kwa ajili ya wahamiaji nchini Ujeruma...
-
Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Ban Ki Moon, amepongeza mafanikio ya kampeni ya kusitisha na kupunguza janga la Ukimwi. Alikuwa akizungum...
-
MKALI wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo ya Msanii Bora wa Afrika katika tuzo zilizotolewa na Uga...
Data Boosta