“Naomba kuchukua nafasi hii kuomba radhi kwa yeyote aliyekwazika kwa
maneno machafu yaliyoandikwa kwa wall yangu, na pia naomba nieleweke
kwamba sihusiki na chochote kupost au kuandika chochote kuhusu kikwete
foundation na picha za jdee ukiwa naked, sina ugomvi na yeyote naheshimu
hisia za kila mtu nikiamini kila mtu ana maamuzi yake.. Aliyeamua
kutumia jina langu kufanya hayo najua sasa unajiskia vizuri baada ya
matusi mengi niliyotukanwa.. Maisha hayaishii hapa siku zinaenda na
ukwali utafahamika siku moja … Mchana mwema.”
“Mi namuachia Mungu … Ya duniani yatalipwa hapa hapa, anayetengeneza
mazingira haya kunichafua ni baraka zinaongezeka .. I keep on moving
sirusishwi nyuma na kauli zenu zilizojaa chuki, dharau maisha
Yanaendelea.
Kiukweli napata lawama nyingi matusi mengi bila kujua kosa langu..
Account yangu ni hii sina nyingine na sijui nn kimeendelea huko, kiroho
safi tu naomba mtu aniambie kuna nini wapi nijue ivi mtanilaumu bure
tu.. No hard feelings.”
Home
»
»Unlabelled
» HATIMAYE ADAM MCHOMVU AFUNGUKA KUHUSU KAULI YA KUMCHAFUA LADY JAYDEE FACEBOOK. SOMA ALICHOKISEMA HAPA
Topics:
Imehaririwa na;- poatel Africa
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Ingawa nipo Arusha,naendelea kudokezwa yanayochomoza vikaoni (ndani ya CCM) na katikati ya makada wa haja. Nimedokezwa kuwa CCM inaelekea ...
-
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ametangaza rasmi nia yake ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Waziri huyo amba...
-
KAMATI ya Taifa ya Matumizi Salama ya Bioteknolojia (NBC) imeridhishwa na matumizi ya Teknolojia ya Uhandisi Jeni (GMO) yenye len...
-
Huu ndo ujio mpya Rehema Chalamila aka Ray C baada ya ukimya wa muda mrefu kwenye muziki amerudi rasmi na hii singl...
-
Hivi karibuni mdau mmoja wa Website hii alinitumia e-mail na kuniuliza ni kwa jinsi gani anaweza kuipata simu yake iliyo...
-
Kampuni moja ya Florida, Marekani imekuja na dhana ya kujenga meli ‘Freedom Ship’, itakayokuwa na uwezo wa kuwa na kila kitu ch...
-
Makala hii inakupa maelekezo ya mambo adimu katika kusimamia barua pepe zako, ili kuboresha ufanisi na- kufurahia kuwa na akaunti ya ema...
-
Kuna taarifa kuwa chanzo cha kifo cha ghafla cha rapper Mangweir ni kuzidisha madawa ya kulevya aliyotumia usiku wa kuamkia leo. Inadaiwa ...
Data Boosta