“Naomba kuchukua nafasi hii kuomba radhi kwa yeyote aliyekwazika kwa
maneno machafu yaliyoandikwa kwa wall yangu, na pia naomba nieleweke
kwamba sihusiki na chochote kupost au kuandika chochote kuhusu kikwete
foundation na picha za jdee ukiwa naked, sina ugomvi na yeyote naheshimu
hisia za kila mtu nikiamini kila mtu ana maamuzi yake.. Aliyeamua
kutumia jina langu kufanya hayo najua sasa unajiskia vizuri baada ya
matusi mengi niliyotukanwa.. Maisha hayaishii hapa siku zinaenda na
ukwali utafahamika siku moja … Mchana mwema.”
“Mi namuachia Mungu … Ya duniani yatalipwa hapa hapa, anayetengeneza
mazingira haya kunichafua ni baraka zinaongezeka .. I keep on moving
sirusishwi nyuma na kauli zenu zilizojaa chuki, dharau maisha
Yanaendelea.
Kiukweli napata lawama nyingi matusi mengi bila kujua kosa langu..
Account yangu ni hii sina nyingine na sijui nn kimeendelea huko, kiroho
safi tu naomba mtu aniambie kuna nini wapi nijue ivi mtanilaumu bure
tu.. No hard feelings.”
Home
»
»Unlabelled
» HATIMAYE ADAM MCHOMVU AFUNGUKA KUHUSU KAULI YA KUMCHAFUA LADY JAYDEE FACEBOOK. SOMA ALICHOKISEMA HAPA
Topics:
Imehaririwa na;- poatel Africa
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Kampuni moja ya Florida, Marekani imekuja na dhana ya kujenga meli ‘Freedom Ship’, itakayokuwa na uwezo wa kuwa na kila kitu ch...
-
Huu ndo ujio mpya Rehema Chalamila aka Ray C baada ya ukimya wa muda mrefu kwenye muziki amerudi rasmi na hii singl...
-
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Camilius Wambura alisema kuwa vijana watatu waliotoka Geita kuja jijini Dar es Salaa...
-
MfanyabiAshara ‘alwatani’ Bongo, mkazi wa jijini Dar, Allain Tajiri amekumbwa na skendo nzito baada ya kufumaniwa na mwanafunzi wa s...
-
Daniel Cabrera alipigwa picha akiwa nje ya duka maarufu la Mac Donalds amejikunyata kwenye kibao anachokitumia kama meza ya kuwekea vi...
-
Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia ambae ameongea na Capital FM Nairobi, Mutula amekutwa akiwa amefariki dunia nyumbani kwake Macha...
Data Boosta