“Naomba kuchukua nafasi hii kuomba radhi kwa yeyote aliyekwazika kwa
maneno machafu yaliyoandikwa kwa wall yangu, na pia naomba nieleweke
kwamba sihusiki na chochote kupost au kuandika chochote kuhusu kikwete
foundation na picha za jdee ukiwa naked, sina ugomvi na yeyote naheshimu
hisia za kila mtu nikiamini kila mtu ana maamuzi yake.. Aliyeamua
kutumia jina langu kufanya hayo najua sasa unajiskia vizuri baada ya
matusi mengi niliyotukanwa.. Maisha hayaishii hapa siku zinaenda na
ukwali utafahamika siku moja … Mchana mwema.”
“Mi namuachia Mungu … Ya duniani yatalipwa hapa hapa, anayetengeneza
mazingira haya kunichafua ni baraka zinaongezeka .. I keep on moving
sirusishwi nyuma na kauli zenu zilizojaa chuki, dharau maisha
Yanaendelea.
Kiukweli napata lawama nyingi matusi mengi bila kujua kosa langu..
Account yangu ni hii sina nyingine na sijui nn kimeendelea huko, kiroho
safi tu naomba mtu aniambie kuna nini wapi nijue ivi mtanilaumu bure
tu.. No hard feelings.”
Home
»
»Unlabelled
» HATIMAYE ADAM MCHOMVU AFUNGUKA KUHUSU KAULI YA KUMCHAFUA LADY JAYDEE FACEBOOK. SOMA ALICHOKISEMA HAPA
Topics:
Imehaririwa na;- poatel Africa
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Kama ni mpenzi wa vitu vikali na bora na umejipanga kuchukua Mzigo mpya wa Kompyuta mpakato “Laptopo” kwa Mwaka huu 2016,Ni...
-
Wana mashabiki wengi, miongoni mwao tayari ni mamilionea (wa shilingi), wapo wenye mijengo, magari ya kifahari, mir...
-
K una watu wengi wenye nguvu katika ulimwengu wa Michezo, Biashara, Siasa,Teknolojia,na mambo mbalimbali, Laki...
-
Mkurugenzi mkuu wa Facebook Mark Zuckerberg amenunua nyumba 4 kwa ajili ya kuzibomoa na kujenga upya katika eneo la Palo Alto lililok...
-
Muonekano wa Kilimanjaro 4 KAMPUNI ya Azam Marine, inaleta boti mpya ya Kilimanjaro 4, ambayo inatarajiwa kuwasili nchini nchini...
-
H atimaye watumiaji wa WhatsApp wataweza kushare nyaraka (Dokoment) kwa Ndugu, Jamaa, Rafiki na wengine zaidi. kipe...
-
Kya GrynDr releases second song of 2013 available for download ! #Wanene Produced by -> @ soundcloud.com/mcivan-thompson Mixed B...
-
Mabingwa wa Bundesliga kufungua kambi ya mazoezi na kutoa msaada wa kifedha kwa ajili ya wahamiaji nchini Ujeruma...
-
Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Ban Ki Moon, amepongeza mafanikio ya kampeni ya kusitisha na kupunguza janga la Ukimwi. Alikuwa akizungum...
-
MKALI wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo ya Msanii Bora wa Afrika katika tuzo zilizotolewa na Uga...
Data Boosta