Mtandao wa Whatsapp unaomilikiwa na Facebook watangaza maboresho ya kuweza kutumia 'Bold' na 'Italics'katika maandishi.
Kwa
mujibu wa maelezo yaliyotolewa ni kuwa maboresho ya maandiko ya
Whatsapp yanaweza kupatikana katika 'Whatsapp version 2.12.535.'
Mnamo tarehe 19 mwezi Februari mwaka 2014 Whatsapp ilinunuliwa na Facebook kwa dola bilioni 19.3.
Mwezi
Februari mwaka 2016 mtandao huo wa kijamii ulitangazwa kuwa mtandao
bora zaidi wa kutoa huduma ya kutuma ujumbe baada ya kuwa na takriban
watumiaji bilioni moja.
Home
»
MITANDAO YA KIJAMII
» Maboresho:: Watumizi wa Whatsapp kutumia Italiki na 'Bold' katika maandishi
Topics: MITANDAO YA KIJAMII
Imehaririwa na;- Unknown
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
BEST TANZANIAN UNIVERSITIES 2015: Latest Rankings 23 February 2015. A list of best universities has just gotten out and the result i...
-
Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi jana jioni kwenye uwanja wa Mbegani, Bagamoyo Timu ya Yanga SC jana imekamilisha kujifua kwa m...
-
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Ref. Na EA.7/96/01/H/41 ...
-
Kampuni moja ya Florida, Marekani imekuja na dhana ya kujenga meli ‘Freedom Ship’, itakayokuwa na uwezo wa kuwa na kila kitu ch...
-
Wanafunzi 7 wa kitivo cha uhandisi wa mashine cha chuo kikuu cha Uludag nchini Uturuki wamefanikiwa kuunda gari la kutumia nishati ya ...
-
Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA imetoa tamko kuhusiana na malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za simu nchini kufuatia kuba...
-
Dunga was the captain of Brazil's 1994 World Cup-winning team and coached the national team from 2006 to 2011. &...
-
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
-
*Asema uamuzi wake haukushirikisha wizara nyingine *Adai wadau walipaswa kupewa muda zaidi, aonya rushwa WAZIRI Mkuu, Mizengo P...
-
Mwanamke mmoja mkazi wa kata ya Buhare katika manispaa ya Musoma mkoani Mara Bi.Helena Paulo mwenye umri wa miaka 20 amejifun...