Header ads

Header ads
» » Hii ndiyo Familia ya Watoto 9 mwenye ulemavu wa macho

 
Je umewahi kuwaona watu wa familia moja wakiwa na ulemavu wa aina moja karibu wote?
Huko Bungoma Magharibi mwa Kenya kuna familia moja ambayo ina wavulana tisa, wanane kati yao ni walemavu wa macho, na mmoja ana jicho moja yaani chongo ambalo halioni kabisa.
Hata hivyo mama yao si mlemavu wa macho pia wapo dada zao wanne ambao nao hawana ulemavu.
Mwandishi wa Nairobi Paul Nabiswa alitembelea familia hiyo na kisha kutuandalia taaifa hii ifuatayo

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post