Header ads

Header ads
» » NAWATAKIA HERI YA CHRISSMASS NA MWAKA MPYA



Nawatakia heri  ya chrissmass, Wadau wangu wa nguvu ,jamaa na marafiki zetu.Hatuna budi kumshukuru mungu kwa wema wake na upendo wake kwetu kwani ametuwezesha tena kusherehekea siku hii ya kuzaliwa bwana yesu.Wapo tuliosherehekea nao mwaka jana lakini kwa mapenzi ya mwenyezi mungu hatunao leo hii ameshawaita mbele ya haki.
Naomba niwatakie mapumziko mema ya sikukuu,msherehekee salama kwa amani furaha na upendo..mshikamano katika familia zenu.Upendo utakao uonyesha leo kwa familia yako au jamaa zako udumu usiishie tu katika siku za sikukuu.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post