Header ads

Header ads
» » HUYU NDIYE MSHINDI WA MISS WORLD 2014 TOKA AFRIKA KUSINI

Screenshot_2014-12-14-19-59-15

Mrembo wa Afrika Kusini Rolene Strauss ameshinda Miss World 2014 nakuchukuta taji kutoka kwa Megan kutoka Philippines kwenye show iliyofanyika ExCeL Exhibition Centre mjini London.
Rolene mwenye miaka 22 ambaye ni mwanafunzi anayesomea udaktari alisema “Hii kwaajili ya Afrika Kusini, nitajipanga kwaajili ya kinachokuja kutokea, haya ni majukumu makubwa sana
Megan naye alisema ” Natarajia Rolene atakuwa na furaha kwenye mwaka wake kama mimi
Mshindi wa pili ni Edina Kulcsar wa Hungary na watatu ni kutoka Marekani Elizabeth Safrit.
Screenshot_2014-12-14-18-19-12 Screenshot_2014-12-14-19-23-46 Screenshot_2014-12-14-19-36-08   Screenshot_2014-12-14-19-58-00  Screenshot_2014-12-14-19-59-25

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post