Header ads

Header ads
» » HUYU NDIYE KIJANA ANAYESTAHILI KUWA MSHINDI WA AIRTELMUSIC TRACE 2014

Licha ya kua na washiriki wengi wazuri katika mashindano ya airtel music trace kuna kijana mmoja aneonekana ni tishio kubwa sana kwa uwezo wake mkubwa wa kuimba kila aina ya saut sasa ili huyu kijana ashinde kinachotakiwa ni kura yako tu tusimpoteze star wetu huyu mwenye kipaji
TAFADHALI UNAOMBWA KUPIGA KURA NA MAELEKEZO YAPO HAPO CHINI TAFADHALI
Mambo vp rafiki. Tuma 55100005 kwenda namba 15594 Ili kunipigia kura katika shindano la airtel trace music star. ni kwa wa2miaji wa airtel tu. Kama huna line ya airtel azima hta kwa jiran then unapiga kura ili nipate ibuka kidedea. Mesej itagharimu 276/= tu. Tuma mara nyingi uwezavyo ili kunitengenezea nafas nzuri ya ushindi.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post