Header ads

Header ads
» » UGANDA YAZINDUA GARI LISILOTUMIA PETROLI


AmazingNity
Taarifa ikufikie kwamba Afrika Mashariki imeingia kwenye headline ya mapinduzi makubwa ya kiteknolojia kwa kutengeneza gari ya aina tofauti na zile tulizozoea kuzitumia.
Kwanini nayaita mapinduzi makubwa katika industry? Sababu ni kwamba tumezoea kutumia magari yanayotumia mafuta na baadhi yanayotumia gesi, mpya ni kwamba Uganda inatarajia kuzindua gari ya kwanza kutengenezwa nchini humo ambayo inatumia umeme hivi karibuni, ambayo imetengezwa kwa msaada wa Serikali ya Uganda.
Tazama video ya gari hiyo hapo juu

CHANZO BBC

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post