Ni mapenzi
kwa timu ya taifa ya nchi yake ndiyo yaliyosababisha Kapombe amwage
machozi kwani licha ya kujitaidi kwa hali na mali kunusuru kipigo lakini
ilishindikana. Marefa wa Kiganda walichangia kwa kiasi kikubwa kuua
ndoto za ushindi kwa timu ya Tanzania. Kwahiyo hadi mwisho wa mchezo
Tanzania 1 na Msumbiji 2. Tanzania wajipange sasa kwani kwa mtaji huu
kimeshanuka.
Samatta nae kama Kapombe chozi chapa chapa |