
KAMPUNI ya Yahoo inayomiliki huduma mbali mbali kama vile Yahoo Mail, Yahoo Sports, Yahoo Finance,
Mwaka 1998 "Google" walitaka kuiuza kampuni yao kwa "Yahoo" kwa dola Milioni 1 (sawa na Shilingi Bilioni 2) lakini Yahoo wakakataa. Yani Yahoo wakakataa kuinunua Google.
Mwaka 2002 Yahoo wakagundua kwamba walifanya makosa kuikataa Google kwahiyo wakarudi na kutaka kuinunua kwa dola Bilioni 3 (sawa na Trilioni 6). Lakini Google wakataka wapewe Dola Bilioni 5 (sawa na Trilioni 10). Yahoo wakagoma.
Mwaka 2008 kampuni ya Microsoft ikataka kuinunua Yahoo kwa Dola Bilioni 40 (sawa na Trilioni 80) lakini Yahoo wakakataa offer hiyo. Wakaona ni "ndogo"
Lakini Yahoo ikazidi kuporomoka kwenye soko na ilipofika mwaka 2016 hatimaye ikauzwa kwa dola Bilioni 4.6 (sawa na Trilioni 9) kwa kampuni ya Verizon
Topics: MITANDAO YA KIJAMII
Imehaririwa na;- Unknown
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Kama ni mpenzi wa vitu vikali na bora na umejipanga kuchukua Mzigo mpya wa Kompyuta mpakato “Laptopo” kwa Mwaka huu 2016,Ni...
-
Facebook ina mpango wa kuzindua satalaiti Afrika ili kupanua upatakanaji wa huduma za Internet barani humo ...
-
Wanasayansi nchini Sudan wanashirikiana na Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), pamoja na Shirika la Chakula na Kilimo (FA...
-
Takwimu zilizotolewa na Benki ya Dunia zinaonyesha kuwa karibu 75% ya idadi ya watu duniani ina simu za mkononi na ni kiashiria si ...
-
Nyota wa muziki kutoka nchini Marekani anaefahamika kwa jina la Jennifer Lopez...
-
Kadri siku zinavyokwenda, ulimwengu wa teknolojia unazidi kuboreka...
-
MKALI wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo ya Msanii Bora wa Afrika katika tuzo zilizotolewa na Uga...
-
Kampuni ya microsoft imezindua laptopu inayojulikana kama surface book ikiwa miongoni mwa bidhaa mpya za Windows 10. Microsoft pia ime...
-
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)-Muhimbili jana imefanya upasuaji mkubwa wa moyo kwa mtoto, Happiness John Josephat ambaye ame...
-
Mawasiliano yanamchango mkubwa sana katika ukuaji na uendelezaji wa biashara. Hii inatokana na kwamba mawasiliano hutumika katika m...
Data Boosta