Mwanajeshi mmoja katika kikosi cha kulinda usalama cha Umoja wa Mataifa Jamuhuri ya Afrika ya Kati amewafyatulia risasi wanajeshi wenziwe na kuwaua wanajeshi wanne.
Wanajeshi wengine wanane wameripotiwa kujeruhiwa katika tukio hilo jijini Bangui.
Wanajeshi huyo aliuawa baadae baada ya wanajeshi wengine kujihami.
Taafifa hiyo ilitolewa na ofisi ya Umoja wa Mataifa Jumamosi 8 Agosti.
Anthony Fouchard, ripota wa kituo cha televisheni cha France24 alifahamisha kuwa milio ya risasi iliskika majira ya asubuhi.
Joseph Nzabamwita msemaji wa jeshi la Rwanda alifahamisha kuwa uchunguzi umeanzishwa ili kubainisha sababu zilizopelekea shambulio hilo.
Wanajeshi wengine wanane wameripotiwa kujeruhiwa katika tukio hilo jijini Bangui.
Wanajeshi huyo aliuawa baadae baada ya wanajeshi wengine kujihami.
Taafifa hiyo ilitolewa na ofisi ya Umoja wa Mataifa Jumamosi 8 Agosti.
Anthony Fouchard, ripota wa kituo cha televisheni cha France24 alifahamisha kuwa milio ya risasi iliskika majira ya asubuhi.
Joseph Nzabamwita msemaji wa jeshi la Rwanda alifahamisha kuwa uchunguzi umeanzishwa ili kubainisha sababu zilizopelekea shambulio hilo.