Tuko hospitali ya mkoa wa Njombe muda huu.Mimi Niko kichochoroni nimejibanza baada ta kuanza kupigwa mabomu na polisi.
Wananchi walifunga njia ili kuishinikiza serikali itoe tamko juu ya mauaji ya RAIA aliyeuawa kwa risasi na polisi bila hatua.
Wananchi wametawanyika hovyo hivyo nitawajuza baadae kinachoendelea huko barabarani. Hapo jana iliripotiwa Polisi kuua Mwananchi kwa Risasi saa tatu usiku kwa kosa la uzurulaji=> Polisi waua raia kwa risasi Njombe kwa kisingizio cha uzurulaji
==== Updates =====
Wagonjwa walioko mawodini hali ni mbaya,moshi wa mabomu ya machozi umeleta athari kubwa sana.Manesi na madaktari wanahangaika kukimbia hakuna Huduma yoyote inayoendelea hapa hospitali.
Home
»
MATUKIO
» Mabomu yarindima Njombe,Wananchi wafunga Barabara baada ya Mwenzao kuuliwa na Polisi kwa Uzururaji
Topics: MATUKIO
Imehaririwa na;- Unknown
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Programu ya mawasiliano ya WhatsApp inaelekea kufuata nyao za Faceboo...
-
UDA Rapid Transit-Chief Operating Officer Recruitment of a COO UDA Rapid Transit-Customer Care Manager Re...
-
BEST TANZANIAN UNIVERSITIES 2015: Latest Rankings 23 February 2015. A list of best universities has just gotten out and the result i...
-
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema (kushoto) akizuliwa na Mawaziri na Manaibu Waziri kutomfuata Mb...