Home
»
MATUKIO
» UCHAGUZI NJOO WANANCHI WAPONE::RIDHIWANI KIKWETE AKABIDHI AMBULANCE KITUO CHA AFYA CHALINZE
Mbunge
wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (katikati) akikabidhi gari
jipya la kubebea wagonjwa (Ambulance), kwa Mganga Mkuu wa Wilaya ya
Bagamoyo,Dk. Mastidia Rutaihwa kwa ajili ya Kituo cha Afya cha Chalinze,
katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Chalinze katika viwanja vya
miembe saba polisi. Wanaoshuhudia kutoka kulia ni Mganga Mkuu wa kituo
hicho, Dk. Bamba Victor na Diwani wa Kata ya Bwilingu, Nasa Karama.
Wakifurahia kwa pamoja kupata usafiri huo muhimu kwa wagonjwa
Ridhiwani
pamoja na viongozi wa dini ya kiislamu wakiliombea dua gari hilo.
Kutoka kulia ni Alhaji Sheikh Hussein Fuko na Alhajj Khamis Magula
Ridhiwani
9katikati) na Mbuunge wa Jimbo la Mtera, Lusinde wakiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya watumishi wa Kituo cha Afya cha Chalinze akiwemo
Mganga Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Dk. Rutaihwa.
Ridhiwani akipongezwa na wananchi kwa kuwapatia ambulance
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Hafsa Kazinja akicheza muziki na mmoja wa wazee wa Chalinze alipotumbuiza katika mkutano huo
Ridhiwani akihutubia katika mkutano huo
Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria makabidhiano ya ambulance katika viwanja vya miembe saba mjini Chalinze jana
Mbunge
wa Jimbo la Mtera, Dodoma, Lusinde ambaye alikuwa safarini akitokea
Dodoma kwenda Dar kwenye vikao vya Kamati za Bunge, aliamua kushiriki
kwenye mkutano huo ambapo alimsifia Mbunge Ridhiwani kwa kipindi kifupi
alichochaguliwa kuwa mbunge miezi sita iliyopita kutekeleza kwa kiasi
kikubwa ahadi alizozitoa wakati wa kampeni ikiwemo ambulance hiyo,
ujenzi wa visima katika vijiji mbalimbali na ujenzi wa barabara pamoja
na zahanati
Topics: MATUKIO
Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Soma na Hizi
Matukio yaliyojili katika ulimwengu wa Teknolojioa Mwaka 2016
MWAKA 2016 umefika ukingoni, kwanizimesalia saa chache kabla ya kuingia 2017. Ahsante kwa...Read more »
31Dec2016TCRA imeziagiza kampuni za simu kutenganisha vifurushi
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeziagiza kampuni za simu kuanzisha vifurushi vinavyote...Read more »
02Oct2015Facebook na UN washirikiana kutoa huduma ya bure ya Internet kwa wakimbizi wa Syria
Facebook na UN yashirikiana kutoa huduma ya bure ya Internet katika k...Read more »
01Oct2015Instagram yaweka rekodi mpya kwa kufikisha idadi kubwa ya watumiaji
Instagram yaweka rekodi mpya kwa kufikisha idadi kubwa ya watumiaji milion...Read more »
01Oct2015Umoja wa Ulaya na China kushirikiana katika utafiti wa 5G
Umoja wa Ulaya unasema kuwa ushirikiano huu utaongezea vituo v...Read more »
01Oct2015shule zote za Serikali kufungwa nchini Kenya
Serikali yatoa agizo la kwa shule zote kufuatia mgomo wa walimu...Read more »
20Sep2015

Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Mambo vipi Rafiki yangu? Kama wewe ni miongoni mwa...
-
Computer ina uwezo wa kufanya mambo ambayo binadamu...
-
Coca-Cola Kwanza Limited of Dar es Salaam, is part...
-
Si wengi wetu wanaofahamu umuhimu wa kula samaki mara...
-
The American Idol judge wore this eye popping red dress...
-
Kwa wale Rafiki zangu wa ma-gadgets and all...
-
Mambo vipi Rafiki zangu wasomaji wa Website hii, Siku...
Data Boosta
