Header ads

Header ads
» » WANAJESHI SABA WAUAWA NA BOMU NCHINI MISRI





Maafisa nchini Misri wanasema kuwa takriban wanajeshi saba wameuawa na wengine wanne kujeruhiwa baada ya bomu lililokuwa limetegwa kando kando ya barabara kulipuka katika mkoa wa Sinai.
Mlipuko huo ulilikumba gari lao ambalo lilikuwa likipiga doria katika eneo ambalo bomba la gesi linapitia katika mfereji.
Kumekuwa na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi ya jeshi la Misri pamoja na miundo msingi katika eneo la Sinai tangu rais Abdel fatah al Sisi achukue uongozi wa taifa hilo mwaka 2013.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post