Sheria moja imependekezwa katika jimbo la New Jersey nchini Marekani ambayo kama itapita watu watatozwa Faini ya dola 50 au siku 15 jela endapo mtumiaji wa simu au tableti kwa utumaji wa meseji, mziki n.k wakati mtu anatembea.
Maeneo ambayo sheria hiyo itabana ni pamoja na maeneo ya barabara – data za nchini Marekani zinaonesha kuna ongezeko kubwa la ajali zinazosababishwa na watembea kwa miguu wanaokuwa wamejikita sana katika utumiaji wa vifaa kama simu wakati wanatembea.
Kosa hilo lililopendekezwa kwa kutumia jina la ‘distracted walking’ tayari lipo katika sheria zinazosuburia kupitishwa kwenye jimbo jingine pia nchini Marekani – la Hawaii, ambapo wao wameweka faini ya hadi dola 250 kama mtu atapatikana na kosa la kuvuka barabara huku akiwa anatumia simu.
Data kutoka bodi ya usalama nchini Marekani inaonesha kulikuwa na kesi za majeruhi 11,101 kati ya mwaka 2000 hadi 2011 zilizosababishwa na utumiaji simu. Huku majeruhi wengi wakiwa wanawake, huku wengi wao wakiwa na umri wa miaka 40 na chini ya hapo.
Mapendekezo ya sheria kama hii yashashindwa kufanikiwa katika majimbo mengine kama vile Arkansas, Illinois, Nevada na New York.
CHANZO: http://researchnews.osu.edu
MHARIRI: AbdallahMagana.com
Topics: HABARI TECH
Imehaririwa na;- Unknown
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
BEST TANZANIAN UNIVERSITIES 2015: Latest Rankings 23 February 2015. A list of best universities has just gotten out and the result i...
-
Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi jana jioni kwenye uwanja wa Mbegani, Bagamoyo Timu ya Yanga SC jana imekamilisha kujifua kwa m...
-
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Ref. Na EA.7/96/01/H/41 ...
-
Kampuni moja ya Florida, Marekani imekuja na dhana ya kujenga meli ‘Freedom Ship’, itakayokuwa na uwezo wa kuwa na kila kitu ch...
-
Wanafunzi 7 wa kitivo cha uhandisi wa mashine cha chuo kikuu cha Uludag nchini Uturuki wamefanikiwa kuunda gari la kutumia nishati ya ...
-
Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA imetoa tamko kuhusiana na malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za simu nchini kufuatia kuba...
-
Dunga was the captain of Brazil's 1994 World Cup-winning team and coached the national team from 2006 to 2011. &...
-
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
-
*Asema uamuzi wake haukushirikisha wizara nyingine *Adai wadau walipaswa kupewa muda zaidi, aonya rushwa WAZIRI Mkuu, Mizengo P...
-
Mwanamke mmoja mkazi wa kata ya Buhare katika manispaa ya Musoma mkoani Mara Bi.Helena Paulo mwenye umri wa miaka 20 amejifun...