Header ads

Header ads
» » Faida Za Juice Na Unga Wa Ubuyu


Ubuyu kama tulivyozoea wengine wanauweka rangi na sukari unatengenezwa vizuri tunafanya kula na kuna wengine ule unga wake hutengenezea juice au ice cream lakini huu ubuyu una faida zake nyingi katika mwili wa binadamu.



faida zake ni hizi.

Husaidia wenye presha ya kushuka na wenye matatizo ya figo

 Husaidia kuzuia kuharisha na kutapika

 Huongeza nuru ya macho mtu anauwezo wa kuona vizuri

Ina magnesiam ambayo husaidia kujenga mifupa na meno

Kuongeza kinga ya mwili sababu ya kuwa na kiasi kingi cha vitamini C

Virutubisho vingi  vya kulinda mwili

Ubuyu una kiwango kingi cha madini ya Kashiamu (Calcium) mara 2 zaidi ya maziwa ya ng’ombe, pia madini mengine yapatikanayo katika ubuyu ni pamoja na madini ya Chuma, Magnesiamu na Potasiamu ambayo ni mara 6 zaidi ya ile potasiamu ipatikanayo katika ndizi!

Unga wa ubuyu una vitamini C nyingi mara 6 zaidi ya ile inayopatikana katika machungwa.

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post